TOLEO LA TAKWIMU ZA AJALI BARABARANI MWEZI, APRIL 2026 image

TOLEO LA TAKWIMU ZA AJALI BARABARANI MWEZI, APRIL 2026

  • Jumla ya ajali 23 zimeripotiwa mwezi Aprili, 2026. Wilaya ya Kaskazini ‘A’ na Magharibi ‘B’ zimeripotiwa kuwa na ajali zaidi, ajali nne (4) sawa na asilimia 17.4 kwa kila wilaya ukilinganisha na wilaya nyingine. Idadi ya ajali za barabarani zilizotokea kwa mwezi Aprili, 2026 zimepungua kwa asilimia 25.8 na kufikia ajali 23 kutoka ajali 31 zilizoripotiwa mwezi Machi 2026. 

  • Mwezi wa Aprili 2026, Wilaya ya Kaskazini ‘A’ na Magharibi ‘B’ zimeripotiwa kuwa na ajali zaidi, ajali nne (4) kwa kila wilaya ikilinganishwa na wilaya ya Kati ambayo ilikuwa na ajali tano (5) zilizoripotiwa kwa mwezi wa Machi 2026. 

Published on May 22, 2026